Leo Ninaleta Kwako Neno Sanjari na Maelekezo Machache Kwetu Kanisa[cite: 19] KUISHI MAISHA YA USHINDI 2 Tim 3:1-15 “Kwa matunda yake mti hutambulikana.” — Mathayo 12:33 (AICT Makongoro – 18/01/2009) Kwa tabia za wanadamu na mwenendo wa dunia hii ilivyo sasa, tutambue kuwa kweli hivi sasa tu katika
Tumepewa Uwezo Juu ya Kuyakabili Majaribu
Mwandishi wa kitabu cha Yakobo ametajwa wazi wazi kuwa ni Yakobo aliyekuwa nduguye Yesu (mst. 1:1). Na waandikiwa wanatajwa kuwa zile kabila 12 za Waisrael watu waliokuwa wametawanyika miongoni mwa mataifa mengine kutokana na majaribu mbali mbali (mst. 1:2). Hii ndiyo maana Yakobo anawaita waandikiwa hawa “ndugu zangu”
Tathmini Kuhusu Mauti
2 Tim 4:6-8 Sikia mstari wa sita. Assemavyo kwa ujasiri mkubwa akisema alivyokuwa tayari kumiminwa kama dhabihu, yaani kukutana na mauti. Kiimani Paulo alitamka hivyo maana alikuwa ameweka mambo yake yote yahusuyo uhusiano wake na Mungu sawa. Hatua hiyo ndiyo iliyomsukuma kuwa tayari kukutana na mauti bila woga.
